Nado na Farid' wote wazembe kwenye kufanya maamuzi kwenye box' pia hata pasi zao wanachelewesha sana' yaani wanapenda kumiliki mpira muda mrefu kitu kinacho fanya wanapoteza mpira mara nyingi
nazani angeanza ditram nchimbi huyu jamaa ni mzuri kwenye mashambulizi.., killer pass, na kudefense..