Kipindi niko shule headmaster wetu alukuwa anatoa xawadi kwa wanafunzi watatu bora na watatu wa mwisho.
Hii ilipelekea wale watatu wa mwisho kupambana sana jukwepa zawado ya nchongo kwa muhula unaofata.
Stars wanechoma kule DRC wapewe hela yao ya goli la mama,huyohuyo aliyechpna atachomoa nechi ijayo kukwepa fedhea.
Kama wakifanya Vizuri wanapata Zawadi.!
Basi, Wakivurunda Pia Wapewe Adhabu..!Tukitaka na sisi tuwe Kwenye Ramani adhabu itolewe ( I.e Viboko Vitembee...