Kaka Habari Yako!!?..Samahani Naomba Nikusawazishe,Nilikuwepo Uwanjani Na Chuji Aliingia Dakika 10 Za Mwisho Ila Alicheza Vizuri Kwa Dakika Alizoingizwa,Na Pia Goal Lao Jamaa Lilikuwa Ni Foul Na Wala Si La Kujifunga Ni Oliech Ndie Alifunga Baada Ya Kipa Kado Kuuachia Mpira Aliokwisha Ukamata Na Yote Ni Baada Ya Huyo Oliech Kumpiga Na Mguu Wa Kifua Kipindi Alipoenda Kuuwahi Mpira.Kwenye Swala La Kupendelewa Hilo Toa,Ni Mistake Ya Mshika Kibendera Ambaye Hakuona Ngasa Km Alikuwa Offside Kwenye Goal La Kusawazisha.Kiukweli ALivyoingia Mgosi Ndio Game Ilichange Japo Alikosa Goal Ambalo Ukiambiwa Ukose Inakuwa Ngumu Kukosa.Kipindi Cha 2 Tulitawala Sana,Haswa Baada Ya Kuingia Yule Mtoto Mwenye Jezi namba 7 Na Beki Alieingia Baada Ya Yondani.Uhuru Selemani,Tegete Na Jabir Aziz Leo Walikuwa Nje Ya Kiwango Kabisa Sijui Walichokuwa Wanafanya Uwanjani Ni Kitu Gani??.Ni Hayo Tu!!