ashy me
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 460
- 299
habar wadau nauliza ni ipi tiba ya taifod sugu..... Sasa nmeugua taifod mara kwa mara toka mwaka uanze n mara ya tano nkitumia dawa napoa baada ya mwez inarud... Nakunywa maji yalochemshwa jpo hapo awal migahawan nlikuwa Nakunywa yoyte Ila nliacha.... Ni mwez tu umepita nlikunywa sipro zkagoma.... Nikanywa clavam ndo nikapoa Ila Sasa naon dalil tn za taifod.... Je n kwel hosp hawatib ugonjwa huu hutuliza... Naomba ushauri ht dawa za asili kuponya ugonjwa huu