Taipei: Rais wa kisiwa cha Taiwan kufanya ziara nchini Marekani

Taipei: Rais wa kisiwa cha Taiwan kufanya ziara nchini Marekani

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Rais wa Taiwan Tsai Ing-wen kufanya ziara nchini Marekani huku China ikilaani kitendo hicho cha kuitaka kuitenga Beijing na kisiwa hicho chenye utawala wa ndani.

Katika ziara hiyo Weng atasimama katika miji ya Newyork na California ambapo atakutana na speaker wa Bunge la Marekani Mu Republican Mc Canty kabla ya kuzizuru nchi za Guantamala na Belize. Taiwan inatambuliwa na jumla ya nchi 14 kama nchi huru.

Wiki iliyopita China ililaani kitendo cha waziri wa Elimu wa ujerumani kuitembelea Taiwan.

Tsai Ing-wen plans to visit allies in Central America at the end of the month, making two unofficial stops in the US. Taiwan president announces trip to the Americas, stirring concern
 
Marekani bingwa wa kugombanisha ndugu na kufadhili upande wa kulinda maslahi yake, ni joka la dunia
 
China naye ni bure kabisa, kama Taiwan hawaitaki China si China waachane nao tu kwani ni lazima waungane wakati China ni taifa la kiimla.
 
China naye ni bure kabisa, kama Taiwan hawaitaki China si China waachane nao tu kwani ni lazima waungane wakati China ni taifa la kiimla.
China inafuata nyayo za waasisi wa CCP kwamba lazima wairejeshe Taiwan kwenye himaya yao.
 
Back
Top Bottom