Tairi la gari langu la mbele upande wa kushoto linagonga gonga

Tairi la gari langu la mbele upande wa kushoto linagonga gonga

amoc thedon

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2016
Posts
345
Reaction score
531
Jaman Wana jukwaa poleni na majukumu .

Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu ..gari langu limekua na tatizo la kugonga gonga nakuutoa kishindo maeneo ya taili la mbele upande wa kushoto.

Binafis me sio mzoefu wa magari maana ndo mala yangu ya kwanza namiliki. Kama week2 zmepita nilienda kwa fundi akaniambia sijui ni joint ndo imeisha tukabadili , kweli tatzo liliisha , lakin baada ya week 1 limerejea tena ..

Na hilo tatzo nmejalibu kufanya observation nimegundua Linatokea hasa ninapokua napita njia yenye mabonde ya mtaan kwangu .lakin nikifika kwenye njia nzuri linatoweka ama litasikika kwa mbali sana

Naombeni mwenye ufahamu anisaidie ni tatzo gani na namna ya kulitatua

Nawasilisha.
 
Hafu fanya na rotation ya matair. Ya mbele yaje nyuma na nyuma yaje mbele.
 
Badili stabilizer bush ama D bush na pia ball joint hakikisha umewekewa nzima maana wahuni wale jamaa!

Ikizingua na hapo rudi tena humu!
 
Eeh maana ukibadilis suspension parts kama shockup ni mbovu utakuwa kila siku wewe ni kubadili bushings,joints na mounts ila tabu iko pale!
Passo yangu ilinitesa sana. Hangaika weeeee nikaja kubadili shockup zote mbili za mbele. Mwenge pale nikanunua 140,000 na ufundi 20,000 mzuka! Tatizo kwishaaaaaa
 
Passo yangu ilinitesa sana. Hangaika weeeee nikaja kubadili shockup zote mbili za mbele. Mwenge pale nikanunua 140,000 na ufundi 20,000 mzuka! Tatizo kwishaaaaaa
Eeh muhimu sana yani shockup ziwe nzima tu
 
Back
Top Bottom