Tairi pana nyembamba "Low profile tyre" na hali halisi ya barabara zetu!!!??

Tairi pana nyembamba "Low profile tyre" na hali halisi ya barabara zetu!!!??

EdwinSN

Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
86
Reaction score
54
Wakuu salama!
Kuna hizi tairi nyembamba na kikanyagio kipana "LOW PROFILE" ambazo nyingi naziona zinafungwa kwenye SPORT RIMS na magari kama alteza, verossa n.k. Hizi tairi ni rafiki na zinadumu kwenye Barabara zetu hizi za viraka vya kila leo!!!?? au tunaiga tu!!

Kimuonekano zipo safi sana, ila naomba kujua usalama, durability ukizingatia na hali halisi ya barabara zetu.
 
Hizo tairi sio rafiki wa bara bara za mashimo. Nilikuwa nakaribia Sekenke, saa tisa usiku nikakanyaga kishimo bara barani, tairi mbili za upand mmoja zikapasuka. Kwa vile nilikuwa na spea moja, ilinilazimu kulala porini usiku huo hadi pakuche!
Nyingi ni fake mkuu, OG hazina hayo matatzo
 
Taili zinakaz tatu
1. Kutoa mnyumbuliko Wa uzito Wa gari na kurahisisha mseleleko Wa injini
2. Kuhimili joto la ardhi na msuguano
3. Urembo kwenye gari
========
Ubora haupimwi Kwa unene au wembamba Bali Elasticity na nyuzi zilizomo kwenye tair, pia kwenye taili kuna expire date muwe mnaangalia!
Mataili mengine hayafai nchi za joto au barabara za vumbi!
Taili pana inarinda Rim na ina pendezesha gari!
CHAGUA TAILI IMARA KWA USALAMA WAKO
 
Mkuu achana kabisa na hizi tabia za kuweka low profile na spot rim katika gari,mie ilinipasukia mitaa ya singida njia ya kinampanda mpaka nilijuta,bado ukiwa rough road inabidi unyate tu maana ukienda speed lazima upasue.mimi baada ya hiyo dhahama nilitoa tairi zote na rim nikaweka zingine na tairi mpya now nadunda hatari
 
Taili zinakaz tatu
1. Kutoa mnyumbuliko Wa uzito Wa gari na kurahisisha mseleleko Wa injini
2. Kuhimili joto la ardhi na msuguano
3. Urembo kwenye gari
========
Ubora haupimwi Kwa unene au wembamba Bali Elasticity na nyuzi zilizomo kwenye tair, pia kwenye taili kuna expire date muwe mnaangalia!
Mataili mengine hayafai nchi za joto au barabara za vumbi!
Taili pana inarinda Rim na ina pendezesha gari!
CHAGUA TAILI IMARA KWA USALAMA WAKO
Mkuu uandikaji wako umenifanya nisielewe point zako
 
Nasikia rim zunazouzwa na jamaa matata haPa mjini ndizo zinaongoza kwa kupinda na kupasuka...kama mihogo iliyokauka au chaki
 
Wakuu salama!
Kuna hizi tairi nyembamba na kikanyagio kipana "LOW PROFILE" ambazo nyingi naziona zinafungwa kwenye SPORT RIMS na magari kama alteza, verossa n.k. Hizi tairi ni rafiki na zinadumu kwenye Barabara zetu hizi za viraka vya kila leo!!!?? au tunaiga tu!!

Kimuonekano zipo safi sana, ila naomba kujua usalama, durability ukizingatia na hali halisi ya barabara zetu.
Tetra aft gd4tttttjtt 5 5k544
 
Low profile tyre ni nzuri kama upo maeneo ya mijini ambapo roads ni full mikeka ila kwa wale wa Kibondo haziwafai!
 
Taili zinakaz tatu
1. Kutoa mnyumbuliko Wa uzito Wa gari na kurahisisha mseleleko Wa injini
2. Kuhimili joto la ardhi na msuguano
3. Urembo kwenye gari
========
Ubora haupimwi Kwa unene au wembamba Bali Elasticity na nyuzi zilizomo kwenye tair, pia kwenye taili kuna expire date muwe mnaangalia!
Mataili mengine hayafai nchi za joto au barabara za vumbi!
Taili pana inarinda Rim na ina pendezesha gari!
CHAGUA TAILI IMARA KWA USALAMA WAKO

please hivi life span ya tairi ni kiasi gani?
 
Nyingi ni fake mkuu, OG hazina hayo matatzo
sio kweli nimeshuhudia tairi kama hzo hasa landcruiser v8 na range tairi zake zinasumbua sana na ni brand bora kabisa kifupi tairi hizo sio rafiki kwa huku kwetu labda kama gari unatumia mara moja au mbili kwa wiki
 
Low profiles hazifai kwenye barabara mbovu na offroad kwasababu hakuna rubber + hewa ya kutosha kunyonya mawe na mashimo ya barabara hivyo shock yake inahamishiwa kwenye rims. Rims nazo ni rigid hivyo haziwezi kuabsorb shock hiyo, kupelekea kupinda au kupasuka.

Low profile tyres hata hivyo zinafaa sana kwenye lami safi kwasababu ni pana hivyo zinaongeza grip in a straight line.
 
Kama utafunga tairi za dizaini hii hakikisha unaweka upepo unaotakiwa kulingana na ukubwa wa tairi na kile kilichoandikwa kwenye tairi.

Hizi tairi zinaharibiwa na sehemu tunazojazia upepo. Wao wanaweka 35 wakati ya vits saizi 17 inataka psi 51.

Kiasi hicho cha upepo ukichanganya na barabara zetu tairi lazima iharibike.
 
Huwezi weka low profile tyres kwenye gari ya kazi.
 
Back
Top Bottom