Z zwangandaba JF-Expert Member Joined Jan 31, 2023 Posts 747 Reaction score 1,404 Jan 24, 2024 #1 Naomba mwenye kufahamu ubora wa tairi za road Cruze r dhidi ya good ride
M MKIBAIGWAsharkss JF-Expert Member Joined May 25, 2017 Posts 572 Reaction score 1,331 Jan 24, 2024 #2 Tairi nzur kabisa ni kuanzia >300k
T The Lastdream JF-Expert Member Joined Jan 23, 2024 Posts 1,970 Reaction score 4,616 Jan 24, 2024 #3 MKIBAIGWA said: Tairi nzur kabisa ni kuanzia >300k Click to expand... Tairi moja mkuu?😕 Bora nitie mikeka mitatu ya 100k nimpe DR CONGO NITETEME NA MAYELE
MKIBAIGWA said: Tairi nzur kabisa ni kuanzia >300k Click to expand... Tairi moja mkuu?😕 Bora nitie mikeka mitatu ya 100k nimpe DR CONGO NITETEME NA MAYELE
Z zwangandaba JF-Expert Member Joined Jan 31, 2023 Posts 747 Reaction score 1,404 Jan 26, 2024 Thread starter #4 MKIBAIGWA said: Tairi nzur kabisa ni kuanzia >300k Click to expand... Jibu lako halina mantiki Mbona hata boto na triangle za laki 3 zipo! Bei ya tairi inategemea na brand pamoja na size ya tairi husika
MKIBAIGWA said: Tairi nzur kabisa ni kuanzia >300k Click to expand... Jibu lako halina mantiki Mbona hata boto na triangle za laki 3 zipo! Bei ya tairi inategemea na brand pamoja na size ya tairi husika
Difo Senior Member Joined Mar 29, 2011 Posts 111 Reaction score 170 Feb 16, 2024 #5 Zote chines Na zote nzuri tu.kikubwa angalia muda wa kutengenezwa angalau ziwe za mwaka Jana ,usinunue zilizokaa dukan muda mrefu ubora upungua sana kutokana na utunzwaji mbaya.
Zote chines Na zote nzuri tu.kikubwa angalia muda wa kutengenezwa angalau ziwe za mwaka Jana ,usinunue zilizokaa dukan muda mrefu ubora upungua sana kutokana na utunzwaji mbaya.