Tairi zipi zinatakiwa kujazwa upepo zaidi kati ya za mbele na za nyuma?

Tairi zipi zinatakiwa kujazwa upepo zaidi kati ya za mbele na za nyuma?

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Tairi zipi zinatakiwa kujazwa upepo zaidi kati ya za mbele na za nyuma?
 
Hazina kipimo?
Kipimo kipo lkn kama ujuavyo wataaramu wetu wa kibongo, utaenda sehemu ya kwanza kujaza upepo atakwambia mbele upepo uwe pungufu kidogo kuliko taili za nyuma. Ukienda sehemu ingine watasema kinyume chake. Ndo maana nkaja huku nipate jibu la kitaalamu
 
gari ako ina manual instruction better upitie kujilizisha na kujua kwann wasema ivo
 
Back
Top Bottom