The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Waziri wa digitali wa Taiwan amesema Huawei ni kirusi cha kichina au Trojan horse kutoka China na ni hatari kuitumia kwenye mfumo wa mawasiliano ya nchi
Waziri huyo ambae zamani alikua muiba taarifa za kimtandao ama kwa kimombo hacker anasema wao Taiwan walishaliona hilo la Huawei muda mrefu toka mfumo wa 4G ulipozinduliwa nchini humo na kuipiga marufuku Huawei isishiriki kwa namna yoyote ile
Taiwan imeipa kandarasi kampuni ya Sweden ya Errickson kutengeneza mitambo ya 5G nchini humo
Taiwan’s digital minister depicts Chinese telecom equipment as ‘Trojan Horse’ | Taiwan News
Waziri huyo ambae zamani alikua muiba taarifa za kimtandao ama kwa kimombo hacker anasema wao Taiwan walishaliona hilo la Huawei muda mrefu toka mfumo wa 4G ulipozinduliwa nchini humo na kuipiga marufuku Huawei isishiriki kwa namna yoyote ile
Taiwan imeipa kandarasi kampuni ya Sweden ya Errickson kutengeneza mitambo ya 5G nchini humo
Taiwan’s digital minister depicts Chinese telecom equipment as ‘Trojan Horse’ | Taiwan News