Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

aiiiiii...na ile niliyokuita ukaiona..au umesahau tena..

Ila naomba utambue hata nisingekutaja popote bado ungebaki kuwa na nafasi kubwa kuwazidi wote.Sema Amen mtumishi wa Bwana πŸ˜…
Hahahaha, Rafiki usikute simu umempa MTU, maana rekodi inaonesha avatar uliyochagua ni ya muigizaji wa kiume, sio hii yangu ya mjeda presidaa
 
Ooh sawa, nazima kabisa,

niingie uwanjani nicheze hata dakika 30, veterans games , enjoy ur day, week njema, nikutakie jpili njema
Asanteee Rafik yangu kipenzi.na kwako pia.take care of your self sawa eeπŸ₯‚πŸ₯‚
 
Hahahaha, dah unataka nikuwinde? Sawa nitafanya hivyo Rafiki
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†usiniambie umeamua kuichangamkia fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…