Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Wapo wengi sana siwezi kuwataja wote na pia itakuwa sio fair kutaja wachache.Haya ni nani anayekuvutia na maneno anayoyaandika mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]hawezi kuwa huyo aisee...kwanza movie zake uweke moyo tayari.nani anataka heka heka mamaaa
Akuuuuu..... ili umjue😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Si umtaje jamani
Una wangapiiiiiiiiii“wewe ndio asali wangu wa moyo kwenye dhiki na faraja mpenzi kaza roho,”
mpaka nakuimbia ndio ujue jinsi gani ulivo mzuri
Hahahhah ile ya kulala mchanganiIle ya kigauni chekundu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona wake wa Dr mwaka wanaweza sisi tutashindwaje jamaniNaomba tu ukipata mda badae uje unisaidie kubeba mizigo, ndo nafungasha virago vyangu nikaanze maisha mapya. Ataniua kwa presha huyu kijana
[emoji120][emoji120][emoji7][emoji7][emoji7]
Auntie yangu mimi niliyerithi mpaka tabia zakeNakupenda wewe sio yeye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tabia zako auntie yangu
Una wangapiiiiiiiiii
Me kushare siwezihumu JF nina wawili tu dear,ukiwemo wewe [emoji7]
Mbona wake wa Dr mwaka wanaweza sisi tutashindwaje jamani
Me kushare siwezi
Sakayo umempeleka wapi, hujui baba paroko nimewamiss[emoji120][emoji120][emoji7][emoji7][emoji7]
Eeenh picha zipi hizo tenajitahidi tuu[emoji8], alafu nimepoteza simu saivi sina picha zako [emoji24] nilikua nazo kama tatu