GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #261
Kaumba bado ipo sema sio kama zaman na sasa hv samaki imefunikwa na super tech ni jiran na samaki wanaangaliana na magereza n balaa
Njoo hapa kwetu pazuri tabataRejea tu Kichwa cha habari ( Headline ) hapo juu kisha tiririka na serereka zako tu Mkuu.
Hapo kwenye neno Totooz nimemaanisha Warembo ( Wanawake wazuri wazuri ) tafadhali.
Nawasilisha.
Nadhan mkuu asingeimba rayvan usingepajua.., yap huko ndo kwel mitaa yangu ya kujidaiKumbe kwenu Nyegezi Mwanza
Nadhan mkuu asingeimba rayvan usingepajua.., yap huko ndo kwel mitaa yangu ya kujidaiKumbe kwenu Nyegezi Mwanza
Wasalimie kuanzia hapo Nyegezi kona, TJ Pub sijui bado ipo?Nadhan mkuu asingeimba rayvan usingepajua.., yap huko ndo kwel mitaa yangu ya kujidai
Pale watoto wengi wa chuga afu wakware kinomaBrazil ipo Tegeta jirani na Kibo complex kwa DSM na Villa Park kwa Mwanza!
Hhahaa hapo TJ mkuu saiv kama vile haipo kwakwelWasalimie kuanzia hapo Nyegezi kona, TJ Pub sijui bado ipo?
Wabobezi wa ' Mbunye Mjumuisho ' utawajua tu!
Matumizi mabaya ya muda kafanye Kazi tujenge Taifa letu acha utotoRejea tu Kichwa cha habari ( Headline ) hapo juu kisha tiririka na serereka zako tu Mkuu.
Hapo kwenye neno Totooz nimemaanisha Warembo ( Wanawake wazuri wazuri ) tafadhali.
Nawasilisha.
Matumizi mabaya ya muda kafanye Kazi tujenge Taifa letu acha utoto
JTI..Toeni Machimbo pande za Moro wakuu
rudi Shule upate elimu ya Msingi uje kuleta upuuzi wako hapa shoga weweKazi ninayofanya kila Siku na ' Mamaako ' inanitosha sana.