relationship agreement page 6 paragraph 5Sitaki
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwani huko na mimi si nitavuta?
Au kule mapenzi hamna? Tena nimwahi yule nani mzuri aliyeondoka juzi juzi [emoji85][emoji85][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]relationship agreement page 6 paragraph 5
timu za kushagilia ni simba ya baba na yanga ya mama kama hazichezi zenyewe kwa zenyewe mmoja lazima amsapoti mwenzie
Hebu muwahi aisee, utupunguzie jamAu kule mapenzi hamna? Tena nimwahi yule nani mzuri aliyeondoka juzi juzi [emoji85][emoji85]
[emoji16][emoji16]. Nikikuambia umenichoka hausikii. Sasa jam ya nini! Maana nawachukua wanawake kwqni wewe wa kiume hadi nikupunguzie jam!Hebu muwahi aisee, utupunguzie jam
unavuruga relationship agreement[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hivi nitaweza kweli kuisapoti simba!! Si nitajisahau nishangilie ikifungwa mwisho uninunie buree!!
Shemeji mie sijaandika hapo.[emoji16][emoji16]. Nikikuambia umenichoka hausikii. Sasa jam ya nini! Maana nawachukua wanawake kwqni wewe wa kiume hadi nikupunguzie jam!
Inabidi tuingie mkataba mpya mpenzi.unavuruga relationship agreement
Mzuie bashite kushika simu yako. AtatugombanishaShemeji mie sijaandika hapo.
Kwani una mpango wa kugombana na mimi shemeji?Mzuie bashite kushika simu yako. Atatugombanisha
Kabisa. Maana naona malengo siyafikiiKwani una mpango wa kugombana na mimi shemeji?
Hahaha kweli umemaliza,Mimi sijawahi kujiona live aisee...Najiona kwenye mirror tu,Kama ninavyomwona harmorapa. [emoji2][emoji2]
Malengo gani shemeji?Kabisa. Maana naona malengo siyafikii
Hili swali chungulia jibu lake pm shemejiMalengo gani shemeji?
Eti umesema!!Hili swali chungulia jibu lake pm shemeji
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]kwa hiyo ulisign tu bila kuusoma mkataba wa mahusiano
tena tuupitie mkataba tuongeze kipengele cha marufuku kuongea na Daby