Taja jina la shule yako ya msingi ili ufahamiane na rafiki uliosoma nao lakini hapa hamujuani

Taja jina la shule yako ya msingi ili ufahamiane na rafiki uliosoma nao lakini hapa hamujuani

jijayetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2016
Posts
727
Reaction score
563
heshima kwenu.

kwa wale tusiotumia majina yetu halisi kwenye hili jukwaa naomba tutumie huu uzi kuandika majina ya shule zetu za msingi na miaka tuliosoma kwenye hizo shule ili tuweze kufahamiana,

kama ukiwa na kumbukumbu nzuri unaweza kutaja na rafiki zako wa darasa la kwanza itapendeza zaidi.

binafisi mimi Jijayetu.

nimesoma shule ya msingi miaka ya 90 na mwanzoni kabisa wa miaka ya 2000, katika shule ya msingi Jija B iko mkoani simiyi wilaya maswa.

tuendelee kufahamiana.
 
Kawaambie waliokutuma kwamba sisi ni vichwa, hatudanganyiki kirahisi, peleka ujinga wako kule fb.
Mpeleke chaka. Mwambie ulisoma shule ya msingi Butimba. Wakati wewe ulisoma Mwanakwelekwe au Bububu.
 
Back
Top Bottom