Wandengereko.Pepeta- ?
😀😀😀Wapogoro
Msele,Kishumba,Kokoro(Uketo)Makande - Wapare
Chikanda ndio msosi gani chief?Wafipa - Chikanda.
Ni Aina Fulani ya mkate wa asili, kama uko Rukwa uliza wenyeji wakuoneshe utaupenda.Chikanda ndio msosi gani chief?
Sikiri na kisusio ni hicho hicho bhanaWachagga: Mtori, kiumbo, ngande, mlaso, kisusio, sikiri,
Hapa kuna wivuNyama choma, pilau, kuku rosti, makange, supu kwa chapati, bia, ni wachaga wa rombo waliohamia Dar!
Kipome na kisyesye, mmbalagha na ikikanda ikya ngulubheKifuge wanyakyusa