Taja Kiungo chako kimachoanza na herufi K

Wewe ni mtaalamu!!! Mimi nilipo hapa nashindwa kumshauri mwajiri kumtoa mwalimu wa nchi jirani kufundisha watoto Kiswahili anasema sisi Kiswahili chetu kina maswali mengi. Sasa hili mimi nilikuwa sikuliona pia. Maana muulizaji hakuweka bayana kama ni kiungo cha mwili au cha mboga.
 
Soma upya mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…