Taja Kiungo katika mwili wako kinafanya kazi kuliko kingine

digba sowey

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
8,926
Reaction score
17,880
Katika mwili wa binadamu kuna viungo vya mwili ambavyo waweza kuta ufanyaji kazi ni mkubwa kuliko vingine,


Hebu taja kiungo kimoja katika mwili wako kinachofanya kazi kuliko chenzake,kwangu Mimi MIGUU ndo kiungo pekee hufanya kazi kuliko vingine

Good day

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moyo, 24 hrs
 
Mwanaume ndie kiumbe wa ajabu kuliko viumbe wote duniani, na sababu ni kwamba ndiye kiumbe pekee mwenye mkia kwa mbele.
Sasa kile kiungo kinacho mtofautisha mwanaume na kiumbe yeyote duniani, ndicho kinacho fanya kazi zaidi.
 
Macho

Jinsi navopenda kutazama wanawake wenye ma.ta.ko mengi, macho huchoka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…