kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Mimi haya kwangu ni maeneo ya hovyo ambayo siwezi kukaa
Mbagala
Kiwalani
Buza
Temeke
Vikindu
Vingunguti
Mwananyamala
Tandale
Magomeni
Manzese
Tabata ToT
Chang'ombe
Buguruni
Haya maeneo kwangu ndo maeneo ya hovyo kabisa nakerwa na tabia za wenyeji na pia nakerwa na ujenzi mbovu wa wenyewe pia nakerwa na narudia ni tabia za wenyeji za maeneo haya wana tabia ambazo zina kila dalili za umasikini umasikini tu tabia ya kuridhika na mambo ya hovyo hovyo tu.
Kwa upande wako unadhani ni maeneo gani ya hovyo huwezi kukaa?
Mbagala
Kiwalani
Buza
Temeke
Vikindu
Vingunguti
Mwananyamala
Tandale
Magomeni
Manzese
Tabata ToT
Chang'ombe
Buguruni
Haya maeneo kwangu ndo maeneo ya hovyo kabisa nakerwa na tabia za wenyeji na pia nakerwa na ujenzi mbovu wa wenyewe pia nakerwa na narudia ni tabia za wenyeji za maeneo haya wana tabia ambazo zina kila dalili za umasikini umasikini tu tabia ya kuridhika na mambo ya hovyo hovyo tu.
Kwa upande wako unadhani ni maeneo gani ya hovyo huwezi kukaa?