Sikujua hiliiiNdio nchi iliyopakana na nchi nyingi Zaidi kuliko nchi.zote Africa
Wewe mtumwa wa mzungu unadhani wote tumesomea linguistics?!Wanafiki na hatujui kiingereza wasomi na wasio wasomi
Mkuu kwenye hii ishu ya lugha hapa baada ya kutembea nchi kadhaa nimegundua tuna advantage sana kutumia lugha yetu ya kiswahili kuliko lugha za wakoloni.Wanafiki na hatujui kiingereza wasomi na wasio wasomi
hivi nyinyi mnao sema wajinga watu uwa mnamaanisha nyie ndio mnaakili sana et ???Nchi ya unafiki
Sikuwahi kujua hili pia..Ndio nchi iliyopakana na nchi nyingi Zaidi kuliko nchi.zote Africa