Taja Mambo Mazuri na Mabaya ambayo Tanzania inaongoza

Tanzania ndo nchi inaongoza kwa umbea
Sio kweli, Drc Congo imepakana (Congo Brazzaville, Center Africa repabluc, South Sudan, Uganda,Rwanda, Burundi, Tanzania,Zambia,Angola)
 
Nchi ambayo moja ya Maajabu 7 ya Dunia linapatikana Tanzania
 
Ndio nchi iliyopakana na nchi nyingi Zaidi kuliko nchi.zote Africa
Ya kwanza Africa ni DRC imepakana na nchi 9, inafatia Tanzania na Zambia, zimepakana na nchi 8.
 
Sio kweli, Drc Congo imepakana (Congo Brazzaville, Center Africa repabluc, South Sudan, Uganda,Rwanda, Burundi, Tanzania,Zambia,AngolaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…