BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
PNC nilimsikia kwenye u heard kwa Soud anavuta ugoro siku hizi,halafu watu walimcheka Mavoko alivyojiunga WCB alishtuka mapema yangemkuta saa hizi na yeye angekuwa anavuta ugoro mtaani.PNC kachoka sana siku hizi kaacha kuimba anauza mihogo.
Mataluma kashaisha kabisa kisanii siku hizi anauza mkaa.
Ommy Dimpozi kashaisha kisanii siku hizi ameolewa ndoa ya siri huko Dubai.
Ugoro hauvutwi mkuu.PNC nilimsikia kwenye u heard kwa Soud anavuta ugoro siku hizi,halafu watu walimcheka Mavoko alivyojiunga WCB alishtuka mapema yangemkuta saa hizi na yeye angekuwa anavuta ugoro mtaani.
Amechoka huku anatembelea Prado!! Wabongo mna matatizo makubwa.steve nyerere ni choka mbaya
Awe makini vijana hawakawii kumtunzia Flora wake[emoji16]Tabata Chama.. Hbaba choka mbaya asee
Sio Mbasha umeambiwa H baba!Awe makini vijana hawakawii kumtunzia Flora wake[emoji16]
Haaa! Mie namuongelea mama watoto wa H baba Flora Mvungi[emoji12]Sio Mbasha umeambiwa H baba!
kaishka alikufanyia mambo nini mkuu!?Mtaani kwetu, ni mimi mwenyewe NIMECHOKA KINYAMA
mkuu hivi una uhakika hajawahi kupiga picha na ndugu yako yeyote wa kike!? usije kusema hatukukuambia lakiniOmmy Dimpozi kashaisha kisanii siku hizi ameolewa ndoa ya siri huko Dubai
Mpaka kapewa na nyumba na viguta chezea kuwasema umbea wakubwa yote kayasababisha mama wema sepetusteve nyerere ni choka mbaya
Hauko well informed, pole.Mpaka kapewa na nyumba na viguta chezea kuwasema umbea wakubwa yote kayasababisha mama wema sepetu
steve nyerere anawatafutia mademu ni kuadiHauko well informed, pole.
Steve ana connection ya moja kwa mojs ikulu, endeleeni kuita watu wamechoka mwenzio anazunguka Tanzania nzima wewe hata nauli ya kwenda Tegeta inakusumbuwa na bado unamnyooshea kidole mtu anayetembelea Prado Tx.
Watu wenye akili hizi za kilofa utawapata Tanzania tu.
Ndiyo deal lililo engeneza gap kati yako na yeye...mjini matokeo haramu mwisho ndani nyumba za ibadasteve nyerere anawatafutia mademu ni kuadi
Shino bado anashinda saluni tu?PNC kachoka sana siku hizi kaacha kuimba anauza mihogo.
Mataluma kashaisha kabisa kisanii siku hizi anauza mkaa.
Ommy Dimpozi kashaisha kisanii siku hizi ameolewa ndoa ya siri huko Dubai.