Taja sifa za hawa dereva bodaboda

Taja sifa za hawa dereva bodaboda

Yofav

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2021
Posts
4,236
Reaction score
7,583
20221001_231055.jpg

Habari wana Jamvi,
Najua wengi wetu humu ni watumiaji wa usafiri wa bodaboda na kama sio basi tunawajua hawa madereva wa hivi vyombo vya moto.

Okay, ebu kutokana na hiyo picha hapo juu, Huyo kijana alivyonyoa na muonekano wake kwa nyuma taja sifa zao hapa, na pia kuna wajuzi zaidi wanaoweza kujua huyu kijana chini amevalia vipi😁
 
View attachment 2375058
Habari wana Jamvi,
Najua wengi wetu humu ni watumiaji wa usafiri wa bodaboda na kama sio basi tunawajua hawa madereva wa hivi vyombo vya moto.

Okay, ebu kutokana na hiyo picha hapo juu, Huyo kijana alivyonyoa na muonekano wake kwa nyuma taja sifa zao hapa, na pia kuna wajuzi zaidi wanaoweza kujua huyu kijana chini amevalia vipi😁
Mkuu uzi kama huu sasa hivi weka pembeni. Ishu sasa hivi ni masanja kugongewa mke
 
Ha! Ni nini kinakufanya uhisi hivyo
Sehemu yangu ya kazi ipo pembeni ya kijiwe cha bodaboda ni wateja wangu sana pia marafiki zangu kwahiyo nawafahamu vizuri mno. Kwenye umbea haijalishi ni mtu mzima au kijana yaani stori zote wanazo
 
Sehemu yangu ya kazi ipo pembeni ya kijiwe cha bodaboda ni wateja wangu sana pia marafiki zangu kwahiyo nawafahamu vizuri mno. Kwenye umbea haijalishi ni mtu mzima au kijana yaani stori zote wanazo
Dah! asee hatari sana, kumbe kunakuwaga na wanaume wenye tabia ya umbea🙌
 
View attachment 2375058
Habari wana Jamvi,
Najua wengi wetu humu ni watumiaji wa usafiri wa bodaboda na kama sio basi tunawajua hawa madereva wa hivi vyombo vya moto.

Okay, ebu kutokana na hiyo picha hapo juu, Huyo kijana alivyonyoa na muonekano wake kwa nyuma taja sifa zao hapa, na pia kuna wajuzi zaidi wanaoweza kujua huyu kijana chini amevalia vipi[emoji16]
Dah kumbe mkuu ukinipiga pcha bila mimi kujua cjapenda kabsa ujuee
 
Dah kumbe mkuu ukinipiga pcha bila mimi kujua cjapenda kabsa ujuee
sasa kwanini wewe uliponiambia nilipie 2000 ninapoenda nikakuambia nina 1500 ukakubali, ndo ukimbize spidi ile kweli? ulikuwa una mpango gani na maisha yangu kijana.
 
Back
Top Bottom