Taja starehe 3 ambazo ndo kila kitu maishani mwako

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,436
Natumai mmeamka salama wakuu.

kila mmoja wetu ataje starehe zake 3 ambazo ndo kila kitu kwake na maelezo yake.

zakwangu hizi hapa:

1. kugegeda
2.intanet
3.mpira

kugegeda hurefresh my mind na kunifanya nienjoy zaid maisha, intenet hunitoa stress nakunifanya nicheke peke angu kama jinga na mpira hunipa furaha ya ajabu ilochanganyikana na wendawazim kidogo.

je upande wako???

nawatakia corona njema wakuu.
 
1.Kugegeda

2.kugegeda tu

3.kugegeda mwendelezo.

😝😝😝😝😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…