adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,033
- 15,638
habari mabwashee..
elezo kichwa cha habari.
kama katika matukio ya ujambazi nilishuhudia ni haya..
ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni hivi.nilikuwa ndani ya costa kutoka moshi kuelekea arusha.kufika maeneo ya KIA costa ikasimama kupakia abiria ambao walikuwa masai 2 na jamaa mwingine 1.kwa haraka wale manjeree walitoka mererani wakielekea arusha.aliingia kwanza yule abiria kisha masai wakafatia.yulee jamaa akaenda kukaa siti ya mwisho kabisa wale masai wakakaa hapo mbele.kufika katikati ya kingori na kikatiti yule jamaa kule nyuma akaomba kushushwa lakini konda akagoma kwamba amna kituo apo.jamaa akaanza vurugu na makelele ashushwe ikabidi abiria wamwambie konda amshushe kuondoa kero.basi imesimama jamaa akaanza kujivuta kama bi arusi yaani anashuka kama ataki vile!wakati konda anamlazmisha ashuke araka tayari mbele ya kosta imepaki RAV4 ikabloki wakashuka jamaa na makoti kipolisi.wakamdaka jamaa pale mlangoni na makofi kibao..kwamba wee ndio jambawazi tunakutafta sana leo tumekupata taja wenzio wako wapi?!akaonyeshea wale masai pale.wakashushwa wote na masai wake wakaingizwa kwenye RAV4 dreva akaambiwa ole wako upige simu tutakuua!kumbe wale masai walikuwa na mawe wanaenda kuuza arusha.lile tukio ilikuwa la akili nyingi sana.
elezo kichwa cha habari.
kama katika matukio ya ujambazi nilishuhudia ni haya..
ilikuwa mwaka 2003 mwanzoni hivi.nilikuwa ndani ya costa kutoka moshi kuelekea arusha.kufika maeneo ya KIA costa ikasimama kupakia abiria ambao walikuwa masai 2 na jamaa mwingine 1.kwa haraka wale manjeree walitoka mererani wakielekea arusha.aliingia kwanza yule abiria kisha masai wakafatia.yulee jamaa akaenda kukaa siti ya mwisho kabisa wale masai wakakaa hapo mbele.kufika katikati ya kingori na kikatiti yule jamaa kule nyuma akaomba kushushwa lakini konda akagoma kwamba amna kituo apo.jamaa akaanza vurugu na makelele ashushwe ikabidi abiria wamwambie konda amshushe kuondoa kero.basi imesimama jamaa akaanza kujivuta kama bi arusi yaani anashuka kama ataki vile!wakati konda anamlazmisha ashuke araka tayari mbele ya kosta imepaki RAV4 ikabloki wakashuka jamaa na makoti kipolisi.wakamdaka jamaa pale mlangoni na makofi kibao..kwamba wee ndio jambawazi tunakutafta sana leo tumekupata taja wenzio wako wapi?!akaonyeshea wale masai pale.wakashushwa wote na masai wake wakaingizwa kwenye RAV4 dreva akaambiwa ole wako upige simu tutakuua!kumbe wale masai walikuwa na mawe wanaenda kuuza arusha.lile tukio ilikuwa la akili nyingi sana.