Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
TBC habari hawana maadili kabisa washenzi wale kusifia ujinga na upumbavu wa hangaya
Kwanza unapata wapi huo muda wa kuangalia kipindi kama hicho?Mimi naanza na kipindi Cha Dadaz. Hiki kipindi sijawahi kukielewa kabisa lengo lake ni nini.
MAADILI ARE NOT UNIVERSAL ACHANA NA UJINGA HUO sHUGHUL;IKA NA HIZI SHERIA ZINAZOTAKA KUTUNGWA KUUMIZA WATUMimi naanza na kipindi Cha Dadaz. Hiki kipindi sijawahi kukielewa kabisa lengo lake ni nini. Kwanza mda wote watangazaji wanaongea bila kupeana zamu ya kuzungumza.
Na zaidi nachoona kinalenga kuwafanya mabinti wengi wasiolewe kwa jinsi kinavyopandikiza mbegu ya jeuri, ujuaji, ubabe na ukorofi kwa wanawake dhidi ya wanaume, tofauti kabisa na Mila na tamaduni za Kiafrika.
π π π π€£π€£π€£π€£ duuuuhFainali ya shirikisho
Hahahahaha π€£TBC habari hawana maadili kabisa washenzi wale kusifia ujinga na upumbavu wa hangaya
haaaa kumbe ni ma singo mama? ndo maaanaDadaz pale EATV. Kile kipindi hata wanawake wenyewe huwa wanalalamika wale mapresenter wa kipindi kuwa hawajielewi hata kidogo wana akili za kitoto na usichana mwingi ingawa wamezeeka tayari.
Na wote hawajaolewa sasa sijui wanajaribu kufanya nini pale
Ubinafsi umekujaa, kila mtu ana interest yake katika ulimwengu huu! Usipende kulazimisha watu wote wawe waha cc JoannahMAADILI ARE NOT UNIVERSAL ACHANA NA UJINGA HUO sHUGHUL;IKA NA HIZI SHERIA ZINAZOTAKA KUTUNGWA KUUMIZA WATU
Huku Ibologelo hiyo Tv chanel haijawai kurushwa hewani mkuu..Mimi naanza na kipindi Cha Dadaz. Hiki kipindi sijawahi kukielewa kabisa lengo lake ni nini. Kwanza mda wote watangazaji wanaongea bila kupeana zamu ya kuzungumza.
Na zaidi nachoona kinalenga kuwafanya mabinti wengi wasiolewe kwa jinsi kinavyopandikiza mbegu ya jeuri, ujuaji, ubabe na ukorofi kwa wanawake dhidi ya wanaume, tofauti kabisa na Mila na tamaduni za Kiafrika.