Taja Wachezaji Wa Man Utd Wanaopaswa Kuachwa Kwenye Dirisha Kubwa La Usajili

Taja Wachezaji Wa Man Utd Wanaopaswa Kuachwa Kwenye Dirisha Kubwa La Usajili

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Kufuatia kuendelea kusuasua kwa Man Utd msimu huu mara hata baada ya kubadili kocha toka Mourinho na sasa Ole Gunnar bado timu imekuwa ni homa ya vipindi.

Inaonekana baadhi ya wachezaji hawana sifa za kuitumikia Man Utd, viwango vyao ni vidogo sana hivyo ni muda muafaka wa kuondoka klabuni hapo na kupisha wachezaji wapya ambao wataweza kwendana na kasi na matakwa ya timu.

Je ni wachezaji gani msimu ujao hawatakiwi kuendelea kuwepo Man Utd, karibu tuwataje.
Mimi naanza na hawa wafuatao, Ashley Young, Smalling, Fred, Sanchez na Pogba.
 
lel1.gif
 
Wachezaji wote haiwezekani kabisa kwa dunia ya leo kuachwa.. kuna mikataba na utaratibu ambao lazima ufuatwe. Kuuza baadhi ya wachezaji kwa pesa ndogo na timu ipate hasara kununua kwa pesa kubwa. Kama kumuuza Sanchez,Mata,Young,Phil Jones,Smalling na Pogba. Halafu kununua wachezaji wa kubwa watatu kwa pesa nyingi na wastani watatu wa pesa kiasi. Kutumia kama pound ml285 na kuuza hao wote kwa labda ml180 au chini ya hapo. Huwezi kununua bila kuuza au kutoongeza mkataba kwa baadhi ili uwaache. Man U karibia miaka 7 sasa wananunua kwa bei juu na kuuza kwa hasara hadi kupata timu bora itawagharimu. Kumbuka akina Dimaria,Falcao,Darmian,Marcos Rojo,Blind,Makhtharyian, Zlatan na wengineo wengi ..wengine wapo bench na wengine wameondoka kwa pesa ndogo. Na isingekuwa jina la timu na wadhamini Mah U ingekuwa katika hali mbaya sana kifedha. Wana hofu hali hii ikiendelea watakosa pesa za udhamini na za Champions league na mwishowe kupoteza pesa nyingi na timu kuwa ya kawaida.
 
Kwa miaka mingi, Man Utd haijawahi kuwa tishio/kushindania mataji ikiwa na MAKINDA. Hii si hali halisi, hata kama tutaamua kuangalia majirani, walipoanza kuendekeza hawa makinda, ndo tulipoanza kuitoa the gunners kwenye mbio za kugombea ubingwa wa ligi....na sasa, ukiangalia timu kama Crystal palace, Westham united, zinaonekana zimeimarika sababu ya wakongwe....

Martial, Lingard, Fred, Smalling, Jones, Dalot, Lukaku, hawafai kuwepo kikosini....bado nitapendelea kumuona Young kama atarudishwa nafasi yake, apambanie nafasi na Valencia, Mata na Matic sitawapumzisha hata mechi moja.

Nakumbuka; Keane, Scholes, Carrick, Fletcher, Anderson, CR7, Giggs, Valencia, Young, n.k

Brown, Ferdinand, Evra, Jones n.k

Sikumbuki kusumbulia na timu za ajabu ajabu, sioni kinda hapo!
 
Wakwenda ni
V.Linderlof
F.Jones
E.Bailly
L.Shaw
A.Martial
R.Lukaku (zee lakuwakalia)
P.Pogba (kinyambe)
D.De gea
M.Rashford


kwangu mimi nazani wanatosha kheri wauze ANTONIO Martial wachukue hata WILFRED ZAHA kuliko hawa nyau hawa Daaaah [emoji19][emoji51]
 
Wabaki hawa_
Ge gea
Shaw
Herrera
Pogba
Rashford
Lingard
Martial
Alexis
Bailly
Mc tominay
Dalot
Lindelof
Hawa waondoke_
Young
Valencia
Rojo
Smalling
Jones
Matic
Fred
Lukaku
Pereira.. N.k
Hii maana yake huwezi kusajili timu nzima au kufukuza timu nzima.
 
Back
Top Bottom