Taja watu mashuhuri ambao kwako wewe unadhani hata ukiambiwa wana undugu kwa kufanana kwao hautobisha kabisa

Eric Nyati - Mwigizaji wa Africa ya Kusini zamani na Mario Puzzo
 
Hakuna kitu kama hicho, hiyo ilikuwa ni namna tu ya kuvutia watizamaji katika kazi yao yaani ilikuwa ni kitu cha kutengeneza tu.
Inasemekana mama yake na undertaker ali cheat na kumzaa Kane
Hizo ndio habari za kwenye mitandao kama uki Google sehemu nyingi sana zinaleta hizo habari na hata kwnye wiki

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…