Taja watu watatu wanaokufanya uendelee kuipenda JF

Ukawa wote cz mm naipenda ccm.. So tukiwa wte ukawa haitapendeza,,, so ukawa yyte huku wananifanya niendelee kuipenda jamii forum
 
Mkuu hapo umetaja watu wawili tofauti


Hapo kuna Ambiele Kiviele mlevi au mzee wa weita zungusha

Na Allen Kilewela
Sikuwa na uhakika ndo maana nikamalizia na kauli mbiu yake ili hadhira ijue nani namaanisha ,,zungushaaaa,ila viroba mwisho leo ngoja niende kwa Paulo nikapiga vya mwisho mwisho.
 
Sikuwa na uhakika ndo maana nikamalizia na kauli mbiu yake ili hadhira ijue nani namaanisha ,,zungushaaaa,ila viroba mwisho leo ngoja niende kwa Paulo nikapiga vya mwisho mwisho.
Paulo unamaanisha daudi bashite yule mungu wa dar au?
 
Sisi wengine huwa tunaangalia mchango alioutoa mdau, hatuangalii nani kachangia. Labda kama nataka kumjibu kwa PM ndpo nitalazimika kusoma jina lake.....otherwise mimi ndio naongoza kwa kutoangalia jina la mchangiaji......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…