Taji Liundi: Mama alitunywesha sumu, tuligundua neno Bongo Fleva

Mimi JF nilijiunga sawa na Nyani Ngabu, William Malecela na wengine wengi. Sema ids zangu zote za enzi zile zilifutwa. Mimi ni kati ya member wa kwanza kabisa wa JF. Kabla ya hapo kilikuwa na discussion forum ya bcstimes.com enzi zile ambayo ni mama wa JF. Lkn mimi nilianzia billboard ya Tanzanet, enzi hizo unaipata kwa ftp wakati http bado changa.
 
Hivi kumbe Taji Liundi alikuwa mtoto wa msajili wa vyama Jaji George Liundi
 
Hiyo historia ya Mtambuzi siyo kweli. Mzee Liundi ndiyo alizaa na demu nje ya ndoa.
Ni kweli kuwa George Liundi alizaa nje ya ndoa. Ila kusema kuwa historia ya Mtambuzi si ya kweli itakuwa ni kutomtendea haki. Maana Mtambuzi amecopy na kupaste (kutafsiri) nyaraka za mahakama which is a very reliable source. Na ni Mama Liundi mwenyewe aliyesema mahakamani kuwa chanzo cha mgogoro wao ni Mzee Liundi kumtuhumu yeye kuwa si mwaminifu.

My take ni kuwa mambo yote haya yalitokea, mzee alizaa nje ya ndoa na pia alimtuhumu mke wake kutokuwa mwaminifu. Kuna kimoja kati ya hivi ndiyo kilianza ila si rahisi kwa sisi kujua kipi kilianza.
 
Ni kuwa Waswahili mnadai marehemu hasemwi vibaya ila kwa tunaoijua familia tokea enzi hizo kabla ya janga la sumu, Mr & Mrs Liundi wote walikuwa 'wajanja'(use your commonsense).
 
Mke wa Taji Liundi aliwahi kufanya mahojiano na Diva the baus.... anaitwa nani? Na Instagram account? Anayejua tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…