sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Ndio asemavyo Taji Liundi.mungu mdogo? maajabu hayatoisha
Sijakuelewa mkuu, ni kama umechanganyikiwa tatizo nini?Huyu fala tu hana lolote hapo anasubiri kwenda kupiga posho si tayari kampigia promo jamaa !
Akizingumza na vyombo vya habari mtangazaji na msema chochote maarufu Dar es Salaam Taji Liundi amesema Diamond anatakiwa kushabikiwa kama mungu mdogo.
Ameyasema hayo akisisitiza support kwa diamond na kuappreciate juhudi anazofanya.
Watanzania wamekusikia bro Taji Liundi akili kubwaz.
Naunga mkono hoja, hata kizazi changu kijacho, nawaondoa kwenye kundi hiliMimi na familia yangu na ukoo wangu tunajitoa kabisa kuwa miongoni mwa watu hao wataomsifu diamond