SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Maisha yanaenda kasi sana.
Rais wa Yanga ambaye hadi majuzi alikuwa ni mwajiriwa wa GSM, aliulizwa kama bado anaendelea na ajira yake pale GSM.
Injinia Hersi akatoa ufafanuzi usio na shaka yoyote kuwa yeye hapokei hata shilingi 100 kutoka pale Deportivo la Utopolo. Akasema yeye status yake ni sawa na kina Mzee Mkuchika, Fatma Karume na Zakayo Mwigulu. Akasema wote hawa vigogo kama alivyo yeye ana mishe zake zinazomuweka mjini, anaisaidia Yanga kutokana tu na mapenzi yake.
Na vyura wote wakashangilia kwa uzalendo wake uliotukuka. Wakaanza kuimba:
🎵🎵
Toka enzi za Fred Felix Minziro,
Hakujawahi kuwa na chura,
Anayevuja damu ya kijani na njano,
Kama weweee,
Rais wetu wa maisha,
Injinia Hersi Said,
GSM!
GSM!
GSM!
🎵🎵
Kuhusu kama bado ameajiriwa GSM, hilo hatujui ila tangu lini tajiri anaajiriwa? Tajiri ana biashara zake bwana.
Rais wa Yanga ambaye hadi majuzi alikuwa ni mwajiriwa wa GSM, aliulizwa kama bado anaendelea na ajira yake pale GSM.
Injinia Hersi akatoa ufafanuzi usio na shaka yoyote kuwa yeye hapokei hata shilingi 100 kutoka pale Deportivo la Utopolo. Akasema yeye status yake ni sawa na kina Mzee Mkuchika, Fatma Karume na Zakayo Mwigulu. Akasema wote hawa vigogo kama alivyo yeye ana mishe zake zinazomuweka mjini, anaisaidia Yanga kutokana tu na mapenzi yake.
Na vyura wote wakashangilia kwa uzalendo wake uliotukuka. Wakaanza kuimba:
🎵🎵
Toka enzi za Fred Felix Minziro,
Hakujawahi kuwa na chura,
Anayevuja damu ya kijani na njano,
Kama weweee,
Rais wetu wa maisha,
Injinia Hersi Said,
GSM!
GSM!
GSM!
🎵🎵
Kuhusu kama bado ameajiriwa GSM, hilo hatujui ila tangu lini tajiri anaajiriwa? Tajiri ana biashara zake bwana.