Tajiri nimeamka, masikini bado mmelala

Amka usije ukajikojolea
 
Huna lolote EBU tuone hizo pesa zako hata kwa picha tu onyesha kama milioni kumi ya chap kwa sasa
Ananini kula kulala tu huyo!
Bahati yake dada yake kapewa kalio kubwa ndilo linanmfanya jamaa aishi maisha ya nafuu kidogo.
 
WATANZANIA wakiwa wanne mmoja ni chizi
 
Wewe unaamka muda huu watu wapo macho tangu saa 9
wewe unaamka sasa wkt watu tupo macho tangu saa 9
 
Tajiri na hizo hela zako mpk wakukate ulimi ushindwe kuongea ndo utajua hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…