Tajiri wa Mitandaoni wa watanzania

Tajiri wa Mitandaoni wa watanzania

Muuza madafu wa Ikulu

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2024
Posts
1,277
Reaction score
2,888
Screenshot_20250130_204234_Lite.jpg


Kijana tajiri wa Mtandaoni na bilionea asiye na shughuli wala biashara wala kazi anayofanya anawasalimia vijana wa Kitanzania.
 
Mshamba tu huyo. Wenye hela hawaongei sana wanaacha pesa iongee.
 
Kutojua kazi au biashara ya mtu haina maana kwamba hafanyi shughuli yoyote.
Punguzeni wivu nyie waswahili.
 
Back
Top Bottom