Taka zilizosambaa eneo la Kibaha Maili Moja Mkoa wa Pwani zaondolewa, usafi wafanyika

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Hali ilivyo Kibaha Maili Moja karibu na Kituo cha Maliasili ambapo taka zimeondolewa, pia chombo kinachotumika kuhifadhi taka kikiwa hakijajaa kama ilivyokuwa awali.

Ikumbuke, Mdau wa JamiiForums.com alitoa ushauri kwa Uongozi wa Kibaha kuondoa uchafu uliokuwa umezagaa eneo hilo kiasi cha kusababisha kero ya harufu kwa Wakazi wa hapo na wa pita njia, pia ilikuwa ni hatarishi kwa afya za Watu.

Kusoma Hoja ya Mdau bofya hapa ~ Taka zinazozagaa Maili Moja - Kibaha ni hatari kwa afya, Mamlaka zimelala?

Mbali na taka zilizokuwa kuondolewa eneo hilo pia uchafu uliosalia umekuwa ukichomwa moto ili kuupunguza kabla ya kuondolewa.



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…