JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hivi ndivyo hali ilivyo mitaa ya Maili Moja, Kibaha Mkoani Pwani, sehemu ya kutupia taka imegeuka kuwa taka pia.
Kicha ya kuwa kuna chombo maalum cha kuweka taka lakini hakitumiki inavyotakiwa na n ahata kama taka zote zilizosambaa chini zingewekwa kwenye pipa hilo bado zisingetosha.
Nasema hivyo kwa kuwa taka ni nyingi zimesambaa chini huku pembeni yake kukiwa na Wafanyabiashara wengi wa bidhaa tofauti tofauti wakiwemo wa chakula.
Mamlaka ya Maili Moja inaona hiki kinachoendelea hapa au wamelala? Wazoaji taka wako wapi? Kibaya zaidi taka zipo barabarani lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.
Hatua zimechukuliwa, soma hapa ~ Taka zilizosambaa eneo la Kibaha Maili Moja Mkoa wa Pwani zaondolewa, usafi wafanyika
Kicha ya kuwa kuna chombo maalum cha kuweka taka lakini hakitumiki inavyotakiwa na n ahata kama taka zote zilizosambaa chini zingewekwa kwenye pipa hilo bado zisingetosha.
Nasema hivyo kwa kuwa taka ni nyingi zimesambaa chini huku pembeni yake kukiwa na Wafanyabiashara wengi wa bidhaa tofauti tofauti wakiwemo wa chakula.
Mamlaka ya Maili Moja inaona hiki kinachoendelea hapa au wamelala? Wazoaji taka wako wapi? Kibaya zaidi taka zipo barabarani lakini hakuna hatua zinazochukuliwa.
Hatua zimechukuliwa, soma hapa ~ Taka zilizosambaa eneo la Kibaha Maili Moja Mkoa wa Pwani zaondolewa, usafi wafanyika