beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakilalamika ratiba kutofuatwa na wahusika kutowapatia taarifa ya mabadiliko ya ratiba hizo kwa wakati
Hali hiyo inafanya takataka ziendelee kukaa kwa muda mrefu bila kuondolewa na kufanya Mitaa kujaa uchafu ambao Wananchi wanakosa namna bora na salama ya kuuondoa
Kutokuwepo kwa ratiba inayozingatiwa huweza kuleta athari mbalimbali kwa Jamii ikiwemo wananchi kutupa taka ovyo katika maeneo yasiyo rasmi na kuchafua mazingira