take a look at this

he he he he!yani hakuna alichofanya zaidi ya kuuza sura!
 
Ni upuuzi wa hali ya juu. Hiyo amani wanayoisheherekea Kenya leo na hata kufikia kupiga kura za maoni kwa amani huko ni kwa juhudi za Jakaya Kikwete.

Watanzania mlishazoea kucheka kwa mambo ya uongo. Siyo kosa lenu. Mlijengwa muwe na hali hii tokea enzi za Chakubanga na Polo.
 
Hata kabla tunapenda kujenga kwa wenzetu, kwetu tunasahau. huku tukijisifia kuwa tunadumisha amani na kukomboa afrika.

Sikushangai ndugu, kibonzo ni poa kinadepict hali halisi ya mtanzania:
1. Kama ni katika mambo ya Uchaguzi- Hana elimu ya uraia
2.Kama ni Kushughulikia matatizo- Mpaka yatokee ndipo ashituke, baada ya kupita kamuda ANASAHAU
3.kama ni Michezo- kichwa cha mwendawazimu, mabondia mpaka wafe na njaa ndipo tushituke, hata tukichanga Sh. 1 tungepata milion 40....
4. Kama ni Sherehe- kila harusi mamilioni
5. etc

Mwenye macho haambiwi tazama ....
 

hujakosea mkuu...

tulijengwa hivyo na CCM chini ya mwalimu............
 
wakenya hawampendi JK kama nini. hii ni mara ya pili kumtoa kwenye vikatuni kwa matusi na kejeli za aina hiyo..east africa community juuuuuuuu, juuuuu, juuu kabisa.
 
Old fashioned you! amani ya kenya ni kwa sababu ya Kikwete, amani ya zimbabwe na S.africa ni kwa sababu ya nyerere........then what?!! what do we have?
 
mwenye sura mbaya kwa kawaida roho nayo mbaya, majirani zetu ndivyo walivyo tuwazoee tu na tusidanganyike amani yetu tuilinde na ikibidi tuitukuze. ndugu zanguni tuwe makini sana na wanasiasa tusishabikie tu bali tuangalie watatufanyia nini? maana makundi nahisi kama yananza!! haswa ya kimakabilakabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…