"TAKE OFF & LANDING" Kupaa na Kutua kwa ndege na mengi yanayoambatana na usafiri wa ndege....

"TAKE OFF & LANDING" Kupaa na Kutua kwa ndege na mengi yanayoambatana na usafiri wa ndege....

PRINCEd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
860
Reaction score
620
Baada ya kuwepo na thread nyingi znazozungumzia usafiri wa ndege, leo nikataman kujua yafuatayo.....


1. Ni mechanism gani inatumika ndege kupaa na kutua, zaman mwalim wangu aliwahi niambia ili ndege ipae inahitaji kukimbia sana ili kupata kasi ya kupasua anga, ndo maana run way inakuwa na urefu kuanzia km 3 mpka tano na lazima iwe nyoofu, vile vile na kutua inahitaji kujipunguza taratibu.....tatzo limekuja now days ndege tena kubwa mfano jumbo jet km KLM n.k haziitaji runway ndefu sana kutua au kupaa......
Kingine kwann ndege istue kama ambvo embe linatua yaan kuibalance ikashuka taratibu na kutulia.....mwenye kujua


2. Kwanini madrisha ya ndege yako vile yalivo kwa maana ya kutofunguliwa na nn maana ya vile vitundu vidogo kwnye hayo madirishaa.....

3. Kuna ulazima gani watu walioko kwenye "cabin" kuwa idle wakati wa ndege kupaa na kutua, kwani kuna wakati abiria wanaambiwa hkn kufunguw mkanda kitembea tembea mpk ndege itulie.......

4. Kwann kuna kukaguana sana kwenye ndege na wakt mwngn unakuta ni local route kama yalivo mabasi, kwamba walioko kwnye mabasi hawaitaji usalama km walioko kwenye ndege......

5. Hili sasa ndo uwa silielewi kwanini wale wasafiri wa ndege wengi wao wanakuwaga kama hawako comfortable, wengi ukiwachunguza full stress,hakuna kupga stori kama kwenye Isamilo au ngorika express, sijui ule wakati wa turbulence hali uwa inakuaje kama sio vilio na kusaga meno......


Ni hayo tu kwa leo.....mwenye kujua.....
 
Hiyo namba 5. sabab nazan kila mtu anajiona yeye yupo juu zaid ya mwingine.....hiz classes huwa zina pungua kweny mabus ila zaid kweny train humu hata kama hutak stor utaongea tu
 
Hiyo namba 5. sabab nazan kila mtu anajiona yeye yupo juu zaid ya mwingine.....hiz classes huwa zina pungua kweny mabus ila zaid kweny train humu hata kama hutak stor utaongea tu
Nahic ndo ivi lakin kwann wanakuwa kama na uoga fulani
 
Dogo hebu ingia Google kila kitu kimeelezwa pale
ni Physics ya O level hiyo
ambapo hata mtoto wa Primary atakuambia kwanini kuku akiruka au kutua hatui km embe
 
Hiyo namba 4 ni kwa sababu ya kiusalama na kiulinzi mkuu tofautisha kujiokoa ukiwa angani na ukiwa barabarani kwenye gari... ndio maana wanakagua sana watu wasiingie na vitu vinavyohatarisha usalama
 
Baada ya kuwepo na thread nyingi znazozungumzia usafiri wa ndege, leo nikataman kujua yafuatayo.....


1. Ni mechanism gani inatumika ndege kupaa na kutua, zaman mwalim wangu aliwahi niambia ili ndege ipae inahitaji kukimbia sana ili kupata kasi ya kupasua anga, ndo maana run way inakuwa na urefu kuanzia km 3 mpka tano na lazima iwe nyoofu, vile vile na kutua inahitaji kujipunguza taratibu.....tatzo limekuja now days ndege tena kubwa mfano jumbo jet km KLM n.k haziitaji runway ndefu sana kutua au kupaa......
Kingine kwann ndege istue kama ambvo embe linatua yaan kuibalance ikashuka taratibu na kutulia.....mwenye kujua


2. Kwanini madrisha ya ndege yako vile yalivo kwa maana ya kutofunguliwa na nn maana ya vile vitundu vidogo kwnye hayo madirishaa.....

3. Kuna ulazima gani watu walioko kwenye "cabin" kuwa idle wakati wa ndege kupaa na kutua, kwani kuna wakati abiria wanaambiwa hkn kufunguw mkanda kitembea tembea mpk ndege itulie.......

4. Kwann kuna kukaguana sana kwenye ndege na wakt mwngn unakuta ni local route kama yalivo mabasi, kwamba walioko kwnye mabasi hawaitaji usalama km walioko kwenye ndege......

5. Hili sasa ndo uwa silielewi kwanini wale wasafiri wa ndege wengi wao wanakuwaga kama hawako comfortable, wengi ukiwachunguza full stress,hakuna kupga stori kama kwenye Isamilo au ngorika express, sijui ule wakati wa turbulence hali uwa inakuaje kama sio vilio na kusaga meno......


Ni hayo tu kwa leo.....mwenye kujua.....
Mwalimu wako alikuambia ukweli hivyo hata jiwe ukiliwekea engine litapaa ????
Anyway kwa ufupi ni kwamba kwa kuanzia umuhimu ni shape ya ndege yenyewe, halafu unapswa kufahamu kuwa shepu ya mabawa yanafanya hewa kuwa na kasi zaidi upande wa juu kuliko upande wa chini ya bawa. hali hii hufanya pressure upande wa juu hupungua wakati ule upande wa chini huongezeka hivyo tofauti pressure kati ya pande hizi mbili na kutokana na thrust ya engine kwa pamoja hufanya ndege ipae angani[ engine thrust coupled by variation of pressure between the upper part of the wing and the lower.] Hapa ndiyo pakuanzia ninafahamu **** wajuzi wengi tuu humu ndani basi tuendelee.....................
 
Back
Top Bottom