Take One: Wema Sepetu akiri kutoa Mimba

Tuandikien mambo ya nchi sio habar za watu alafu hazituhusu uongo mtupu
 
Wema sepetu akihojiwa na Zamaradi amekili jana kuvunja vunja kwa vyuma kitoto kisicho na hatia yaani alifanya abortion ya ujauzito alio dai ulikua wa Kanumba. Hali iliyo mpelekea kutoweza kubebe mimba tena.

Nilitegemea awe amekamatwa kwani hana tofauti na wanao ua maalbino. Lakini kinyume chake anataka kupitishwa kua mbunge wa viti maaalumu CCM. Nadhani CCM imekua chaka la kutunza waalifu.

Lakini anataka kuenda kuwatetea wanawake wa kitanzania bungeni huku mikono yake ikiwa ina harufu ya damu ya kichanga kisicho na hatia eti alitaka kulinda uzuri wake.

Simuhukumu lakini naomba sheria ifanye hivyo.

Chanzo: take one ya clouds tv chinu ya zamaradi mtetema
 
Mods toweni huu uzi tunajadili mambo ya msingi pelekeni jukwaa la celebrity.
 
Eti anataka ubunge wa vitu maalumu kupitia Singida. CCM inalea wauaji.
 
nampenda wema ila aangalie vy.kuongea public...bnafs siwez ongea hayo aliyoongea...
 
Huo uongo nimesikiliza lipind mwanzo mwsho hakukuwa na mahojiano hayo.msiyudanganye jaman hata kwetu tv zipo .looooooh tafuten mengine sio ya watu

Uongo ni tabia ya vijana kutoka chama Cha democrasia
 
Huyu mwanamke ni muongo ana hasira sana yaani nimeangalia ni kama anataka kujipasua kichwa

Ynasema hauna kinyongo na mtu yoyote baadae unatumia zaidi ya dakika 10 unamuongelea Kajala, kisa unamchukia sababu unadai alilala na mume wa mtu aliyekuwa bwana wako. Na hauna haibu unakubali kabisa eti tulikuwa couple hivi kuiba wanaume wa watu unaona raha, unajua mkewe anafikiriaje au kuumiaje. Juzi juzi unentaja leo ubamtaja angekuwa mume wangu unamtaja hovyo ungenikoma, umefika muda sasa ufundwe na walimwengu wewe mwanamke hauna haibu. Ndio maan CK kakuacha na umemsaka weeeeee na bado kakukataaaaa hataki kutoka na wewe.

Hata ukitaja majina mia ya aliotoka bao kwenye TV huyo ni mume aa mtu.

Unatia aibu wanawaje wewe, halafu muongo sana

Tangu lini wewe tu ndio video zako hazitoki ha hauachi kusingizia watu wengine wakati inajulikana kabisa kuwa kazi hamfanyi na hajalipa mengi.

Acha uongo intervuew zako zinajaa uongo haufau kupewa....koma waume za watu heshimu wake z watu. Unamlilia Nasibu ambaye hakukuoa ukajitahidi usimtaje ila huyo ukamtaja wivu, kinyongo ni wewe kwa saba tu.

Heshimu ndoa za watu acha kufundisha wanaokushangulua kufikiria kulala na waume za watu wasifanye kazi kisa tamaa ya vya bure.
 
Hahaaaa Nyie wengine hapa mmeshatoa mimba mpaka mungu kakasirika😂😂, Wema go go mama watakujadili sana mwaka huu,wameshindwa kujadili how to vote wanakujadil ww kwel duh kika siku lazima utajwe ur a real super star
 
Juu ya mimba hakuna sheria ya kuua Tanzania? Mbona anaiongelea sana, kuna watafuta mimba hawapati yeye anaongelea kila mara kama ni kitu kizuri alichotenda. Inaudhi

Ndio wajue jinsi huyu mwanamke alivyo mpuuuzi....Huyu hafai kuigwa na Jamii yetu ya sasa,....Ni mfano mbaya zaidi kuwahi kutokea.

Utoaji mimba ni kosa kwa sheria za Tanzania...Eti "Mbunge mtarajiwa" anajivunia kuwa alitoa mimba kisa hakuwa tayari....

Tunaposema huyu mtu hana akili hatukosei.......na wapigakampeni wake wote akili zao zinafanana na zake

Sasa ndugu yangu Heaven on Earth nilikwambia huyu katoa mimba saba....sasa unaone eeeh? kaanza kukiri mwenyewe
 
Last edited by a moderator:


Mie hata sijui kwa nini inakuwa hivi kabisa

Ila baada ya kuona huyu mwenzake kwenye kampuni yao, anayempigia kampeni ya ubunge anajibu watu hivi instagram kwa kitu kidogo inaonekana wote sawa tu


 
Last edited by a moderator:
Tuliposema kuwa yawezekana hazai kwa sababu aliendekeza kutoa mimba, team wema walikuja juu na kutushushia matusi haya mshushieni matusi na huyo Wema wenu, si amekiri katoa mimba. Diamond alisema Wema hataki kuzaa mkamtukana ooh hana uwezo wa kuzalisha, baadae Wema akakiri mwenyewe kwamba hana uwezo wa kuzaaa mimacho hiyoo ikawatoka. Rai yangu kwenu team Wema, ifike mahali mkiambiwa kitu na watu mkitafakari sana kabla hamjaibukia kutukana, mnamtetea sana Wema halafu mwisho wa siku anawaaibisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…