Takriban miaka 62 sasa maadui wa taifa hawapungui ila wanaongezeka

Librarian 105

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
261
Reaction score
356
Baada ya uhuru tulianza na ujinga, maradhi na umasikini. Hadi sasa hakuna aliyepunguzwa walau makali...
Sasa hivi wanaendelea kuongezeka. Kuna ufisadi, rushwa, uchawa, watu wasiojulikana, ukanda na mitandao ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, huenda orodha inaendelea

Tatizo liko wapi watanzania wenzangu na nini tufanye katika hivi vita?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…