TAKUKURU acheni double standards, viongozi wa CHADEMA wapandishwe kizimbani

TAKUKURU acheni double standards, viongozi wa CHADEMA wapandishwe kizimbani

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Natoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.

Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.

Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.

Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.

Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
 
Mkuu, Corona bado ipo ni wazi unahitaji bado kupiga nyungu mara kwa mara ili kupunguza madhara ya awali pengine yenye kuathiri uwezo wa mtu kutunza kumbukumbu vizuri.
 
Mkuu, Corona bado ipo ni wazi unahitaji bado kupiga nyungu mara kwa mara ili kupunguza madhara ya awali pengine yenye kuathiri uwezo wa mtu kutunza kumbukumbu vizuri.
Hoja gani unapost!
 
Natoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.

Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.

Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.

Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.

Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
Unahangaika sana mtoto wa kisukuma.pole hao TAKUKURU wakamkamate kwanza aliye tafuna 1.5 trilioni ndio warudi CHADEMA.
 
Hahahaha ni rahisi ;peleka ushahidi wako TAKUKURU nao mara moja watafungua kesi mahakamani .
 
Kwanini unaamini hii ni porojo na ya kina Mbowe si porojo ?!
Jaduong acha kutetea uovu. Sakata ya tril 1.5 PAC walitoa majibu bungeni na kusema hakuna ufisadi uliofanyika.
Ya akina Mbowe Waitara alishuhudia deni hewa lilivyoundwa na kulipwa. Kwa hiyo jamaa yupo sawa kabisa kuwa Chadema kuna ufisadi.
 
Natoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.

Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.

Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.

Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.

Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
Kange Lugora yuko wapi ?
 
Kuna 1.5 trillion kala meko wako kimya,halafu kuna ccm lumumba nao wamepiga mabillioni sasa sijui wataanza na ipi ya meko au ccm
Natoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.

Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.

Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.

Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.

Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
 
Natoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.

Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.

Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.

Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.

Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
Wamesamehewa kama Kangi, Andengenye na Magufuli mgawa nyumba kwa mademu zake
 
Back
Top Bottom