"kama",hapo ndio umeonesha kuwa wewe ni kanjanja na unapelekeshwa na hisia to!Kwa namna serikali wanavyowatafuta wapinzani mpaka kuwapima mkojo kwa kesi ya uchochezi,hizo tuhuma zingekuwa na hata chembe ya ukweli basi wangeshashughulikiwa ipasavyo!Wewe ni mhuni unayependa kutukana haufai kabisa. Kama watu walifanya ufisadi sheria ifuate mkondo.
Kwani hazina ukweli?"kama",hapo ndio umeonesha kuwa wewe ni kanjanja na unapelekeshwa na hisia to!Kwa namna serikali wanavyowatafuta wapinzani mpaka kuwapima mkojo kwa kesi ya uchochezi,hizo tuhuma zingekuwa na hata chembe ya ukweli basi wangeshashughulikiwa ipasavyo!
Sisi kama TAKUKURU tumepania sana kumpeleka Baba yako mahakamani kwa kuwa alimtafuna mama yako akakuzaa wewe taahira!
"Kama" watu walifanya ufisadi sio? Kama hawakufanya you have to shut up!Wewe ni mhuni unayependa kutukana haufai kabisa. Kama watu walifanya ufisadi sheria ifuate mkondo.
Ukweli wake umeuthibitisha wewe?Kwani hazina ukweli?
Hizi siku mbili nilikuwa off usukumani kuchukuwa mpunga nimekuta umejibu upuuzi huu !!!. Kwa swala la trl. 1.5 u umeiamini PAC , ok fine. Lakini kwa swala la Cdm na takukuru unamwamini Waitara !, mlevi !!Jaduong acha kutetea uovu. Sakata ya tril 1.5 PAC walitoa majibu bungeni na kusema hakuna ufisadi uliofanyika.
Ya akina Mbowe Waitara alishuhudia deni hewa lilivyoundwa na kulipwa. Kwa hiyo jamaa yupo sawa kabisa kuwa Chadema kuna ufisadi.
Ngoja nicheke tu jaduong. Vipi ulikuwa maeneo ya Kagongwa au?Hizi siku mbili nilikuwa off usukumani kuchukuwa mpunga nimekuta umejibu upuuzi huu !!!. Kwa swala la trl. 1.5 u umeiamini PAC , ok fine. Lakini kwa swala la Cdm na takukuru unamwamini Waitara !, mlevi !!
Daahh ukipenda chongo utaiita kengeza [emoji120]
Anza na Mwenyekiti wa CCM taifaNatoa rai kwa TAKUKURU iache mara moja kuchelewesha kuwapeleka viongozi wa CHADEMA mahakamani.
Mbowe na genge lake wametafuna bil 8 na sasa wapo uraiani.
Kuna viongozi wa chama cha ushirika huko Tabora walikula mil 200 wapo gerezani mbona hawa akina Mbowe hawachukuliwi hatua?. Hii sio haki kabisa.
Justice is blind kila anayefanya kosa apate haki yake
Mchakato wa uchaguzi usiwe sababu ya kutusahaulisha.
Tunaomba wapelekwe mahakani wapewe haki yao. Bil nane sio pesa kidogo.
Bas na hizo zako ni porojo hakuna skendo kama Hiyo, wewe Lete ushaidiHizo ni porojo,hakuna skendo kama hiyo.
SolwaNgoja nicheke tu jaduong. Vipi ulikuwa maeneo ya Kagongwa au?
Kwa nini Waitara nisimuamini maana kama ulevi anafanya baada kazi. Na sio kwamba ulevi wake utafanya atoe tuhuma za uongo.