JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,935
- 3,346
Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (TAKUKURU) inawahoji watumishi kadhaa wa idara ya fedha waliohusika kuhizinisha malipo yasiyo halali ya Tsh 800,000,000/= (milioni mia nane) kwa kampuni ya aliyekuwa mkurugenzi wa TANESCO Bwana. Muhando, malipo halali yaliyostahili kulipwa ilikuwa Tsh 16,000,000/= (milioni kumi na sita) kulingana na bidhaa alizosupply.
UPDATES:
BAADA YA KIMYA KIREFU HATIMAYE LEO WAMEPANDISHWA KIZIMBANI.

http://niaje.blogspot.com/2014/05/breaking-news-mkurugenzi-wa-zamani-wa.html
UPDATES:
BAADA YA KIMYA KIREFU HATIMAYE LEO WAMEPANDISHWA KIZIMBANI.

http://niaje.blogspot.com/2014/05/breaking-news-mkurugenzi-wa-zamani-wa.html