TAKUKURU inawahoji watumishi TANESCO, kufikishwa mahakamani muda wowote!

TAKUKURU inawahoji watumishi TANESCO, kufikishwa mahakamani muda wowote!

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2009
Posts
2,935
Reaction score
3,346
Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (TAKUKURU) inawahoji watumishi kadhaa wa idara ya fedha waliohusika kuhizinisha malipo yasiyo halali ya Tsh 800,000,000/= (milioni mia nane) kwa kampuni ya aliyekuwa mkurugenzi wa TANESCO Bwana. Muhando, malipo halali yaliyostahili kulipwa ilikuwa Tsh 16,000,000/= (milioni kumi na sita) kulingana na bidhaa alizosupply.

UPDATES:
BAADA YA KIMYA KIREFU HATIMAYE LEO WAMEPANDISHWA KIZIMBANI.

2.jpg


http://niaje.blogspot.com/2014/05/breaking-news-mkurugenzi-wa-zamani-wa.html
 
Kaaaazi kweli kweli! Tatizo la rushwa ni SYSTEMIC, ie A Corrupt Regime, kwa hiyo fighting corrupt individuals, rather than the system itself, is fighting a wrong war and wastage of resources!
 
Mil 800 za wapi wakati tender yenyewe ilikuwa ya mil 147? Wabongo tunapenda longo longo, nani anaweza akatupa ushahidi kama tender ilikuwa ya mil 800?
 
Hayupo na nani atawatetea, kuna ndugu yangu asije akahusishwa maana atahangaika mwenyewe
 
Kaaaazi kweli kweli! Tatizo la rushwa ni SYSTEMIC, ie A Corrupt Regime, kwa hiyo fighting corrupt individuals, rather than the system itself, is fighting a wrong war and wastage of resources!
Dawa ni kuwaondoa wote...
 
Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa (TAKUKURU) inawahoji watumishi kadhaa wa idara ya fedha waliohusika kuhizinisha malipo yasiyo halali ya Tsh 800,000,000/= (milioni mia nane) kwa kampuni ya aliyekuwa mkurugenzi wa TANESCO Bwana. Muhando, malipo halali yaliyostahili kulipwa ilikuwa Tsh 16,000,000/= (milioni kumi na sita) kulingana na bidhaa alizosupply.

Kesi ya nyani kupelekwa kwa ngedere au ngedere kwa nyani. Nonsense
 
ni upuuzi, upuuzi kutangaza eti TAKUKURU inawachukulia wezi fulani halafu baadae unaifuatilia kesi unasikia wezi wameshinda. kwanini TAKUKURU ISIWAKAAMATE raisi na mawaziri ambao wanaweza kuiba mabilioni. AISE SIKU NIKISIKIA TAKUKURU WAMEMSHIKILIA MWINYI, MKAPA , KIKWETE hapo ndoo nitaanza kuwaamini !
 
Sina imani na Takukuru hata kidogo.

Hata mimi sina kabisa hata kwa huyo CAG wote wezi tu.

Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio Mkapa alistahili malipo ya mwisho wa mkataba wa mwanzo Tshs 40M, lakini kwa kutumia ujangiri akavuta Tshs 540M.

TAKUKURU wanajua na walishalishwa limbwata la pesa,

CAG ripoti ya vijana wake ilionyesha ujambazi mkubwa pale PPF, amekalia riport toka 2011 September hadi leo. Zitto aliyeagiza PPF wachunguzwe kalambishwa buzwagi lake naye kimyaaa!

CAG na TAKUKURU waundiwe tume kuwachunguza
 
Diiiiii

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ina wezekana ukawa sahihi katika hili lakini kitu muhimu alicholeta mtoa hoja ni kuwa malipo yaliyofanyika ni makubwa kuliko uhalisia, na pengine katika uchunguzi wa Takukuru
Mil 800 za wapi wakati tender yenyewe ilikuwa ya mil 147? Wabongo tunapenda longo longo, nani anaweza akatupa ushahidi kama tender ilikuwa ya mil 800?
 
Mil 800 za wapi wakati tender yenyewe ilikuwa ya mil 147? Wabongo tunapenda longo longo, nani anaweza akatupa ushahidi kama tender ilikuwa ya mil 800?

Mkuu sentensi ndogo tu unashindwa kuelewa, wapi pameandikwa tenda ilikuwa ya sh ml800, kilichopo nikuwa mzabuni amelipwa pesa nyingi kuliko pesa alizostahili kulipwa, na kwa kifupi wenyewe wamekili kuidhinisha malipo hayo na ushahidi upo, ndugu kama umehusika ujue umekwisha, UTAFUNGWA!
 
Mkuu sentensi ndogo tu unashindwa kuelewa, wapi pameandikwa tenda ilikuwa ya sh ml800, kilichopo nikuwa mzabuni amelipwa pesa nyingi kuliko pesa alizostahili kulipwa, na kwa kifupi wenyewe wamekili kuidhinisha malipo hayo na ushahidi upo, ndugu kama umehusika ujue umekwisha, UTAFUNGWA!

Weka ushahidi hapa sio longolongo. Na sio kwamba mimi natetea ubadhilifu wa mali za umma ila sipendi hizi exaggeration zisizo za lazima. Weka ushahidi hapa au tulia.
 
Back
Top Bottom