Uchaguzi 2020 TAKUKURU kama mnatenda haki mkamateni mgombea wa urais wa CCM

Uchaguzi 2020 TAKUKURU kama mnatenda haki mkamateni mgombea wa urais wa CCM

mungu mwema

New Member
Joined
Dec 7, 2014
Posts
2
Reaction score
0
Mgombea wa CCM anatoa rushwa waziwazi na hakuna anachofanywa na TAKUKURU ilikuwa WASANII sasa KATANGAZA AJIRA AKIWA KWENYE JUKWAA LA CAMPAIGN HADHARANI NA TAKUKURU HAMUUKAMATI NA MZEE WETU KATANGAZA UBWABWA2 KWENYE KAMPENI ZAKE TAYARI MMESHAMUONYA HATUTAKI HUO UNYONGE TENDENI HAKI KWA KILA MTU.
 
Kwani mzee wa ubwabwa kaambiwa aache kugawa ubwabwa? Sijaiona hii.
Kama kweli duh.
 
mimi jimemiss ubwabwa tu, maana tangu 2015 huwa nakula ubwabwa siki ya krismas tuu
 
Takuccm
Neccm
Policcm
Usalaccm
Tbccm
 
Hawa ma CCM watapasuka huu mwaka dah
 
Nadhani unasahau kwamba serikali ya awamu ya 5 bado ipo madarakani hadi itakapo kuwa vinginevyo.
 
Maccm ni empty head a.k.a tabulalasa , huyu Mzee si alijidai kukaza eti kagoma kuajiri kwa miaka mitano , safari hii atatapika ndoano , hela za tetemeko la kagera lazima acheue .
 
Back
Top Bottom