Takukuru kuchunguza fedha chafu za kuwang`oa wabunge

Mtanzania

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2006
Posts
4,816
Reaction score
684
Takukuru, mmefanya la maana sana; tena anzieni Kyela.

Takukuru kuchunguza fedha chafu za kuwang`oa wabunge
 
Du mafisadi wanatuwahi kila sehemu: Wanajaribu kutu pre empty on every move! Hivi kweli Takukuru inayoongozwa na fisadi Hosea inaweza kuwachunguza mafisadi wenzie waliotoa milioni 400? kaputi
 
Nasubiri kuona Takukuru wakisafiri hadi uingereza (kwa gharama za nani sijui) ili kupanua wigo wa uchunguzi wao.
 
TAKUKURU kwenyewe kumejaa mafisadi kibao ndiyo maana hadi hii leo hawajakamilisha uchunguzi wowote wanaacha hili wanarukia lile. UPUUZI MTUPU!
 
Takukuru waanze kujichunguza kwanza wao ndipo wafuate wengine.Je wao ni wasafi kwa kiwango gani?mimi sina imani kabisa na Takukuru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…