Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,057
- 7,611
Kuna kitu kinaanza kunipa mashaka na wasiwasi ligi ya mwaka huu. Inasemwa Simba mwaka huu ni wao na pesa wanayo na inaoneshwa Yanga huu si mwaka wao na hawana pesa. Huenda ikawa sawa lakini isije kutumiwa kuficha ya sirini.
Ni kwanini timu zikicheza na Yanga zinajiapiza kufia uwanjani wakati zikicheza na simba zinakuwa kama zimekuja kukamilisha ratiba? Wachezaji wanakuwa kama wanavuta vyuma miguuni na kana kwamba hawaitaji point 3. Hijli linaweza kupindishwa na kutetewa lakini ukweli unaanza kujionesha. Zile pesa zinazosemwa ndo tuamini zinaanza kufanya kazi? Ni kweli point za Yanga ndo muhimu kwa timu hizi na si zile za kutoka Simba?
Takukuru wekeni mitego yenu mwaka huu kuna watu wanatangaza wana pesa. Mwenendo wa ligi kuanzia kwenye magazeti mpaka uwanjani si wa kawaida na unatia shaka kubwa.
Ni kwanini timu zikicheza na Yanga zinajiapiza kufia uwanjani wakati zikicheza na simba zinakuwa kama zimekuja kukamilisha ratiba? Wachezaji wanakuwa kama wanavuta vyuma miguuni na kana kwamba hawaitaji point 3. Hijli linaweza kupindishwa na kutetewa lakini ukweli unaanza kujionesha. Zile pesa zinazosemwa ndo tuamini zinaanza kufanya kazi? Ni kweli point za Yanga ndo muhimu kwa timu hizi na si zile za kutoka Simba?
Takukuru wekeni mitego yenu mwaka huu kuna watu wanatangaza wana pesa. Mwenendo wa ligi kuanzia kwenye magazeti mpaka uwanjani si wa kawaida na unatia shaka kubwa.