TAKUKURU mnasubiri muagizwe na nani kumchunguza Mbarawa tuhuma za Rushwa mikataba ya EPC+F?

TAKUKURU mnasubiri muagizwe na nani kumchunguza Mbarawa tuhuma za Rushwa mikataba ya EPC+F?

Stuka

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
282
Reaction score
906
Nimesoma gazeti la leo la Mwananchi Juni 1, 2024 ukurasa wa mbele lina kichwa kisemacho, Bajeti ya Ujenzi Mnyukano hoja ya Mdee na Mawaziri watatu kuhusu mikataba iliyosainiwa na Profesa Makame Mbarawe ya kujenga barabara kilomita 2,035 kwa kiwango cha lami kwa utaratibu wa EPC+F.

Mbunge wa Konde Mohamed Issa katika mchango wake alisema iwapo Serikali inakwenda kutafuta fedha badala ya mkandarasi chini ya EPC+F haioni kwamba hapo kuna suala la rushwa ambalo linafaa kuchunguzwa?

Lakini hadi Bunge linahitimishwa licha ya mawaziri Mwigulu Nchemba, Innocent Bashungwa na Profesa Makame Mbarawa kujaribu kujitetea bungeni hawakuweza kueleza sababu za kuacha utaratibu wa kawaida na kwenda kwenye EPC+F ambayo inaonekana kuna dili limechezwa baina ya mawaziri hao na Kampuni ya Kichina ya CCECC na wabia wake kuiingiza hasara nchi ya Trilioni 3.7

Spika wa Bunge alishindwa kulielewa suala hili hadi bunge linahitimishwa ameshindwa kutoa mweongozo wowote kwa mawaziri waliohusika na kashfa hiyo.

TAKUKURU hadi sasa mnasubiri nini kuwachunguza Prof. Mbarawa, Mwigulu Nchemba na hao Kampuni ya CCECC kuhusu tuhuma za rushwa kwenye mikataba ya EPC+F? na Spika wa Bunge nayo napendekeza achunguzwe na TAKUKURU kwanini alishindwa kulihandle suala hili wakati anaendesha kikao cha Bunge licha ya ukweli kuonekana bayana kwamba kuna harufu ya rushwa.
 
Nadhani Takukuru wanahitaji mamlaka huru kikatiba ili kuweza kutekeleza kazi,majukumu na wajibu Kwa jinsi ipasavyo bila kuingiliwa ama kushinikizwa/kulazimishwa/Kuvurugwa/Kutishwa/Kufokewa..
 
Nimesoma gazeti la leo la Mwananchi Juni 1, 2024 ukurasa wa mbele lina kichwa kisemacho, Bajeti ya Ujenzi Mnyukano hoja ya Mdee na Mawaziri watatu kuhusu mikataba iliyosainiwa na Profesa Makame Mbarawe ya kujenga barabara kilomita 2,035 kwa kiwango cha lami kwa utaratibu wa EPC+F.

Mbunge wa Konde Mohamed Issa katika mchango wake alisema iwapo Serikali inakwenda kutafuta fedha badala ya mkandarasi chini ya EPC+F haioni kwamba hapo kuna suala la rushwa ambalo linafaa kuchunguzwa?

Lakini hadi Bunge linahitimishwa licha ya mawaziri Mwigulu Nchemba, Innocent Bashungwa na Profesa Makame Mbarawa kujaribu kujitetea bungeni hawakuweza kueleza sababu za kuacha utaratibu wa kawaida na kwenda kwenye EPC+F ambayo inaonekana kuna dili limechezwa baina ya mawaziri hao na Kampuni ya Kichina ya CCECC na wabia wake kuiingiza hasara nchi ya Trilioni 3.7

Spika wa Bunge alishindwa kulielewa suala hili hadi bunge linahitimishwa ameshindwa kutoa mweongozo wowote kwa mawaziri waliohusika na kashfa hiyo.

TAKUKURU hadi sasa mnasubiri nini kuwachunguza Prof. Mbarawa, Mwigulu Nchemba na hao Kampuni ya CCECC kuhusu tuhuma za rushwa kwenye mikataba ya EPC+F? na Spika wa Bunge nayo napendekeza achunguzwe na TAKUKURU kwanini alishindwa kulihandle suala hili wakati anaendesha kikao cha Bunge licha ya ukweli kuonekana bayana kwamba kuna harufu ya rushwa.
Mwigulu Nchemba hawezi kukueleza jambo ukaelewa, nilianza kumuona ni PhD bogus kwenye issue ya Trab & Trat na jana EPC+F Bungeni, jamaa ni mbumbumbu kabisa hajui anachokifanya na inawezekana ndo lile kundi lililomaliza kidato cha nne mwaka 1998/99 lililokuwa linaiba mitihani.
 
Mwigulu Nchemba hawezi kukueleza jambo ukaelewa, nilianza kumuona ni PhD bogus kwenye issue ya Trab & Trat na jana EPC+F Bungeni, jamaa ni mbumbumbu kabisa hajui anachokifanya na inawezekana ndo lile kundi lililomaliza kidato cha nne mwaka 1998/99 lililokuwa linaiba mitihani.

Hahaha
 
U
Mwigulu Nchemba hawezi kukueleza jambo ukaelewa, nilianza kumuona ni PhD bogus kwenye issue ya Trab & Trat na jana EPC+F Bungeni, jamaa ni mbumbumbu kabisa hajui anachokifanya na inawezekana ndo lile kundi lililomaliza kidato cha nne mwaka 1998/99 lililokuwa linai

Umesema ukweli kabisa!
 
Na alikua haelewani na Mativila kisa ujizi wake huu matokeo yake wakaigawa wizara. Wakamtoa Mativila kisha wamempa wizara ya uchukuzi aibe mapesa zaidi.
SGR inamshinda kule... This guy is a born criminal.
 
Takukuru ni taasisi ambayo haina meno.yaani ni kibogoyo.inafanya kazi Hadi iambiwe na kiongozi Fulani kama waziri rais au mkuu wa mkoa.bila Hivyo wao hutulia ofisini tu kula kiyoyozi na kupokea pesa za Bure Bure za walipa kodi
 
Back
Top Bottom