Jana pccb wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeini zake kama ccm inavyowatumia wasanii kwenye kampeini zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
Ccm kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu,TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha ccm kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila ccm inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlivyo mmiminia risasi kama vile mnamuua simba mla watu hamkujua kuwa zinge muwachia majeraha?Dah wengine wanatumia majeraha kupata kura za huruma
Hahahaaaa...... Ubwabwa ni rushwa?!Aah Takururu wametuharibia kampeni.
Pccb wameamuaKwahiyo leo hatuli ubwabwa...
#MaendeleoHayanaChama.
Acheni double standards, watu wamepata nafasi ya kuangalia show ya Konde boy bure mnawanyima nafasi ya kula ubwabwa.Hahahaaaa...... Ubwabwa ni rushwa?!
Yesu aliwalisha makutano mikate na samaki!
Hahahaaaa..... Labda wanahofia wagombea wengine wataleta mbege mkutanoni!Acheni double standards, watu wamepata nafasi ya kuangalia show ya Konde boy bure mnawanyima nafasi ya kula ubwabwa.
Ndiyo double standard hizo za viongozi wetu, kosa afanye mpinzani akifanya ccm ni full vigeregereAcheni double standards, watu wamepata nafasi ya kuangalia show ya Konde boy bure mnawanyima nafasi ya kula ubwabwa.
Mmechanganyikiwa sana maccmHahahaaaa..... Labda wanahofia wagombea wengine wataleta mbege mkutanoni!
Wanamuonea bure mzee wetu Has him Rungwe Spunda!Aah Takururu wametuharibia kampeni.
Leo ukiruhusu ubwabwa kesho mgombea wa Chadema akileta mbege utamkatalia?!
Wengine watatujia na ngoma za GOBO GOBOLeo ukiruhusu ubwabwa kesho mgombea wa Chadema akileta mbege utamkatalia?!
inafikirisha!Jana pccb wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeini zake kama ccm inavyowatumia wasanii kwenye kampeini zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
Ccm kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu,TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha ccm kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila ccm inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilisha nunua ndizi zangu za kuiva ili nikajigongee nguna la mzee wetu Spunda!Wametuaribia mchongo, tukale wapi Sasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ova