Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
So sadNaona walisha peana kiapo kuwa ni lazima ccm irudi madarakani kwa gharama zozote zile kwao ni poa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi nimeupandisha mimi kwa makusudi ya kuzunguzia wagombea wa nafasi ya urais, punguza mapepo yako hayoWewe mbwiga wa bavicha sheria ya rushwa haibagui mgombea urais wala mgombea ubunge au udiwani!
Mwambie Mbowe aweke mbege kwenye mkutano wake pale Machame aone kama Takukuru watamuacha kwa sababu yeye siyo Rungwe!
Wanatia hasira sana hawa makadaTAKUKURU acheni usanii, wale wagombea ubunge kupitia CCM mliokuwa na taarifa zao za kutoa rushwa mlisema mnalirudisha kwenye chama wamalizane wenyewe kwa wenyewe, Sasa kwa nini mnaingilia kampeni ya mzee Rungwe?
Sera ya Rungwe ni watu wale washibe!
wanaona aibu nchi ya kipato cha kati wananchi wake kukusanywa kwasababu ya ubwabwa nyamaMgombea wa CCM ametoa ajira za ghafla kwa walimu! CCM inawapa posho wasanii hizi zote ni rushwa hapo kwa TAKUKURU zinaonekana si rushwa kwa sababu zinatolewa na CCM! Ni waziri mamlaka hii tangu awali imeonekana kugwaya panapohusika CCM na kuonesha mskucha panapohusika wapinzani, wakazi wa Mbagala waliufinya ubwabwa wa Manji alipogombea udiwani kwenye viwanja vya Zakhiem na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa na mpaka sasa wagombea wa CCM wanaendelea kumwaga ubwabwa na senti, ni wazi TAKUKURU inawaonea wapinzani kwa vitendo inavyovikubali kwa CCM.
Vikao vya shetani vikiongozwa na Malkia mkuu wao vinajadili ilikuwaje risasi 16 hazikumuua?Mlivyo mmiminia risasi kama vile mnamuua simba mla watu hamkujua kuwa zinge muwachia majeraha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo tatizo linapo anzia hapoHaiwezekani kwani ndiye aliyewateuwa.
Hapa tunazungumzia rushwa bwashee....... Na rushwa haibagui!Huu uzi nimeupandisha mimi kwa makusudi ya kuzunguzia wagombea wa nafasi ya urais, punguza mapepo yako hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika hawa jamaa hawana tofauti kabisa na masheitwaniVikao vya shetani vikiongozwa na Malkia mkuu wao vinajadili ilikuwaje risasi 16 hazikumuua?
Alipo Mungu ya shetani hushindwa. Bible ina miujiza Mingi sana. Kuna watu walitupwa kwenye tanuli za moto hawakufa. Wengine kwa kundi la simba lakini walibaki salama.
Salamu zimfikie malkia mkuu wa sheitwani.
PumbafuHapa tunazungumzia rushwa bwashee....... Na rushwa haibagui!
Hahahaaaa.......umeshapanic kama Tundu Lisu!
Na hongo ya ajira 13000 za walimu na manesi na madokta alizotangaza magufuli juzi akiwa maswa tuziiteje? Why today? Alikuwa wapi mpaka atangaze ajira wakati wa kampeni? Malofa nyie. Tena malofa kweli.Acheni double standards, watu wamepata nafasi ya kuangalia show ya Konde boy bure mnawanyima nafasi ya kula ubwabwa.
Kwani ubwa ni Rushwa?Kwani wasanii ni rushwa
Kwao wale wanaoimba kwenye mikutano yenu huwa ni wakulima au ni wasanii?Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo nimipango ya serikari kwa hiyo unataka shughuli zisimame mpaka akishinda?Na hongo ya ajira 13000 za walimu na manesi na madokta alizotangaza magufuli juzi akiwa maswa tuziiteje? Why today? Alikuwa wapi mpaka atangaze ajira wakati wa kampeni? Malofa nyie. Tena malofa kweli.
Sasa hizi kachumbali na ndizi sukari itakuwaje? Na kiangazi hiki chips dume tutapata wapi?Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.
Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.
Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.
CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.
Tanzania bila CCM inawezekana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi twende zetu woote na matunda yetu makao makuu ya TakukuruSasa hizi kachumbali na ndizi sukari itakuwaje? Na kiangazi hiki chips dume tutapata wapi?
Cdm haina haja ya kuwatumia wasanii maana neno cdm tu linatosha kuwashawishi wananchi kutoka majumbani mwao kwenda kumsikiliza rais wao ajayeKwao wale wanaoimba kwenye mikutano yenu huwa ni wakulima au ni wasanii?